forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
714 B
Markdown
21 lines
714 B
Markdown
|
# mpendwa wetu...mwenzetu...kwa niaba yetu
|
||
|
|
||
|
Neno "yetu" na "sisi" sio pamoja na Wakolosai.
|
||
|
|
||
|
# injili mliyojifunza kutoka kwa Epafradito, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye
|
||
|
|
||
|
"injili. Ambayo hasa umejifunza kutoka kwa Epafradito, ambaye in mpendwa mtumishi mwenzetu na ambaye" au "injili. ni sahihi kile Epafra, mtumishi mwenzetu mwenzetu, aliwafundisha. Yeye"
|
||
|
|
||
|
# Epafra, tumishi mpendwa wetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwetu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwamba Epafraalikuwa anafanyakazi kwaajili ya Kristo ambayo Paulo mwanyewe angeliifanyakama asingekuwa gerezani.
|
||
|
|
||
|
# Epafra
|
||
|
|
||
|
Epafra alikuwa mwanaume aliyehubiri Injili kwa watu wa Kolosi
|
||
|
|
||
|
# mpendwa wenu katika Roho
|
||
|
|
||
|
Roho Mtakatifu amewazesha kupenda waumini
|
||
|
|