forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
556 B
Markdown
29 lines
556 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaanza kujitetea kwa kile alichukuwa amefanya
|
||
|
|
||
|
# Nakuuliza
|
||
|
|
||
|
"nakuomba" au "nakusihi"
|
||
|
|
||
|
# nikubalie
|
||
|
|
||
|
"Tafadhali nikubalie" au tafadhali niruhusu"
|
||
|
|
||
|
# Jemadari alikuwa amempa kibali
|
||
|
|
||
|
Neno "kibali" linamaanisha kuwa mkuu wa kikosi alikmpa Paulo kibali cha kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Paulo akasimama penye ngazi
|
||
|
|
||
|
Neno "ngazi" linamaanisha hatua ya juu ya kupanda kuelekea kwenye ngome.
|
||
|
|
||
|
# akatoa ishara ya mkono kwa watu
|
||
|
|
||
|
Paulo alitoa ishara ya mkono kwa watu kuashiria wanyamaze
|
||
|
|
||
|
# kulipokuwa na ukimywa sana
|
||
|
|
||
|
wakati watu waliponyamaza kabisa
|
||
|
|