forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
850 B
Markdown
37 lines
850 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa sehemu ya hadithi kuhusu kukamatwa kwa Paulo.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 29 unaelezea habari kuhusu Wayahudi kutoka Asia.
|
||
|
|
||
|
# Siku saba
|
||
|
|
||
|
Hizi zilikuwa siku saba kwa ajili ya kujitakasa.
|
||
|
|
||
|
# katika Hekalu
|
||
|
|
||
|
Paulo hakuwa ndani ya hekalu lenyewe. Alikuwa kwenye uwa wa nje wa hekalu.
|
||
|
|
||
|
# Makutano wote wakashawishika
|
||
|
|
||
|
"Ilisababisha kundi kubwa la watu kuanzisha upinzani.
|
||
|
|
||
|
# na wakamnyoshea mikono
|
||
|
|
||
|
Neno Kumnyoshea mikono" lina maana ya watu kuanza kumvamia.
|
||
|
|
||
|
# watu, sheria na mahali
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Israel, sheria ya Musa, na hekalu
|
||
|
|
||
|
# mwanzoni walikuwa wamemwona...walidhani kwamba Paulo alikuwa ameingia na Myunani hekaluni
|
||
|
|
||
|
Mwandishi Luka anaelezea kwanini wayahudi kutoka Asia walimshitaki Paulo kuwa alimleta Myunani
|
||
|
|
||
|
# Trofimu
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa mwanaume Myunani ambaye Paulo alishitakiwa kuwa aliingia naye hekalu
|
||
|
|