forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.1 KiB
Markdown
37 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# kuwa macho. kumbuka
|
||
|
|
||
|
'kuwa macho na kukumbuka' au 'kuwa macho kama unakumbuka' au 'kuwa macho kwa kukumbuka.'
|
||
|
|
||
|
# Kuwa macho
|
||
|
|
||
|
kuwa macho na tahadhari 'au' kuangalia nje" au "kukaa macho"
|
||
|
|
||
|
# Kumbuka
|
||
|
|
||
|
"Endelea kukumbuka" au "Tahadhari"
|
||
|
|
||
|
# kwa miaka mitatu sikuweza kuacha kuwafundisha... usiku na mchana
|
||
|
|
||
|
Paulo hakufuruliza kuwafundisha kwa miaka mitatu, lakini mara kwa mara katika muda wa miaka mitatu.
|
||
|
|
||
|
# Sikuweza kuacha kuwafundisha
|
||
|
|
||
|
Maana inawezekana ni 1) 'sikuweza kuacha kuwaonya au 2) "sikuweza kuacha kuhamasisha kwa marekebisho."
|
||
|
|
||
|
# kwa machozi
|
||
|
|
||
|
Hapa "machozi" inaelezea kilio cha Paulo kwasababu ya hisia zake kali juu ya vile alivyojihisi wakati akiwaonya hao watu.
|
||
|
|
||
|
# Na sasa mimi nawakabidhi kwa Mungu, na kwa neno la neema yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linasimama juu ya ujumbe. Kwamba namwomba Mungu awalinde na kuwasaidia kuendelea kuuamini ujumbe niliosema nanyi juu ya neema yake.
|
||
|
|
||
|
# ambalo laweza kuwajenga
|
||
|
|
||
|
Imani ya mtu kuwa imara ni mfano wa ukuta uliojengwa na kuzidi kuimarishwa zaidi na zaidi.
|
||
|
|
||
|
# na kuwapa urithi
|
||
|
|
||
|
Hapa pia anazungumzia neno la neema yake Mungu kana kwamba Mungu mwenyewe alikuwa akiwapa urithi watu wake.
|
||
|
|