forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
1.1 KiB
Markdown
45 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Taarifa unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaita wazee wa kanisa la Efeso na kuanza kuzungumza nao.
|
||
|
|
||
|
# kutoka Mileto
|
||
|
|
||
|
Mileto ilikuwa ni mji wenye bandari Magharibi ya Asia ndogo karibu na chanzo cha mto Meander.
|
||
|
|
||
|
# Ninyi wenyewe
|
||
|
|
||
|
Paulo hapa anatumia msisitizo kwa kile anachowaambia.
|
||
|
|
||
|
# kuweka mguu katika Asia
|
||
|
|
||
|
aliingia mkoa huu wa Asia
|
||
|
|
||
|
# jinsi nilivyokuwa kwenu muda wote
|
||
|
|
||
|
Anazungumzia muda alioutumia akiwa kwao.
|
||
|
|
||
|
# kwa unyenyekevu wote
|
||
|
|
||
|
'Unyenyekevu' au 'kujishusha hadi chini'
|
||
|
|
||
|
# kwa machozi
|
||
|
|
||
|
"machozi" wakati mwingine alijisikia hali ya huzuni na kulia machozi.
|
||
|
|
||
|
# kwa Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi kwa kila Myahudi. Anaelezea juu ya baadhi ya wale waliomtendea mabaya.
|
||
|
|
||
|
# Mwajua jinsi ambavyo sikujizuia kutangaza kwenu
|
||
|
|
||
|
" Mnajua jinsi ambavyo sikunyamaza, lakini kila mara niliwahutubia."
|
||
|
|
||
|
# kwenda nyumba kwa nyumba
|
||
|
|
||
|
Paulo alifundisha watu kwenye makazi yao binafsi yaani nyumba kwa nyumba.
|
||
|
|
||
|
# juu ya toba kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu
|
||
|
|
||
|
"toba" na "imani" ni maneno yanayoweza kutafsiriwa kwa vitenzi. Kwamba walipaswa kutubu mbele za Mungu na kuamini katika Bwana Yesu Kristo.
|
||
|
|