forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
691 B
Markdown
25 lines
691 B
Markdown
|
# Sentensi jumuishi
|
||
|
|
||
|
Karani wa mji anaongea ili kuunyamazisha umati wa watu
|
||
|
|
||
|
# Karani wa Mji
|
||
|
|
||
|
Hii inafafanua juu ya "Karani" au "Mwandishi"
|
||
|
|
||
|
# Je, kuna yeyote ambaye hajui kuwa mji wa Efeso ni hekalu mlinzi wa Diana mkuu na ya sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
karani aliuliza swali hili kuwahakikishia umati kuwa walikuwa sahihi na kuwatia moyo.
|
||
|
|
||
|
# Nani asiyejua
|
||
|
|
||
|
Karani wa mji anatumia neno "asiye" ili kusisitiza kuwa watu wote wa mji wanajua hili.
|
||
|
|
||
|
# Mlinzi wa hekalu
|
||
|
|
||
|
Watu wa Efeso wanatunza na kulinda hekalu la Atemi
|
||
|
|
||
|
# sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Ndani ya hekalu la Diana kulikuwa mfano wa mungu fasheni iliyoanguka kutoka angani, kulikuwa mwamba uliofikiriwa kutoka Zeus
|
||
|
|