forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
973 B
Markdown
33 lines
973 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Demetrio anaendelea kuzungumza na mafundi
|
||
|
|
||
|
# munaona na kusikia kwamba
|
||
|
|
||
|
"Mumekuja kwa kujua na kuelewa kwamba"
|
||
|
|
||
|
# kuwageuza watu wengi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawazuia watu kuacha kuabudu miungu. Paulo anawashawishi watu kufuata mwelekeo mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Anawaeleza kuwa hakuna miungu ambayo iliyotengenezwa kwa mikono
|
||
|
|
||
|
Neno hapa "Mikono" linaelelzea hali yote ya mtu. Anamaanisha kuwa Hakuna miungu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu iliyo ya kweli.
|
||
|
|
||
|
# kwamba biashara yetu haitaweza kuhitajika tena.
|
||
|
|
||
|
"Kwamba watu hawataweza tena kuhitaji na kununua miungu kutoka kwetu."
|
||
|
|
||
|
# hekalu la mungu mkuu mke diana hataonekana na thamani tena.
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa; "watu watafikiri kuwa hakuna faida inayoendelea kuabudu katika hekalu ya mungu mke Diana."
|
||
|
|
||
|
# Hata atapoteza umaarufu wake
|
||
|
|
||
|
Umarufu wa Diana utapotea kwa kufikiri habari yake.
|
||
|
|
||
|
# ambao wote walio Asia na ulimwengu wa waabuduo
|
||
|
|
||
|
hili linakuzwa ili kuonyesha vile Diana alivyokuwa anapendwa na wengi.
|
||
|
|