forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
916 B
Markdown
37 lines
916 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa tukio jingine lililotokea wakati Paulo akiwa Efeso. Ni kuhusu wapunga mapepo Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# Wapunga mapepo
|
||
|
|
||
|
watu ambao hufukuza roho wabaya kutoka kwa watu au maeneo
|
||
|
|
||
|
# akilitumia jina la Yesu kwa matumizi yao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Ingawa hawakuwa wakimwamini Yesu, walijaribu kutumia jina lake kama moja ya maneno yao ya muujiza
|
||
|
|
||
|
# Walinena juu yao walikuwa wapegawa na roho chafu
|
||
|
|
||
|
Walilitaja jina la Yesu kwa roho wachafu zilizokuwa zimewapaa watu
|
||
|
|
||
|
# wale waliokuwa na pepo wabaya
|
||
|
|
||
|
wale waliokuwa wakiongozwa na roho wabaya
|
||
|
|
||
|
# Kwa Yesu anayehubiriwa na Paulo
|
||
|
|
||
|
"Yesu" lilikuwa ni jina la kawaida wakati ule, hivyo hao wapunga mapepo waliwataka wato kujua waliyekuwa wakimnena.
|
||
|
|
||
|
# kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
Hii inasimamia nguvu na mamlaka ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Waliofanya vile walikuwa wana saba wa kuhani wa kiyahudi, Skewa.
|
||
|
|
||
|
Hii ni habari inayojadili habari ya wapunga mapepo.
|
||
|
|
||
|
# Skewa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu mwanaume.
|
||
|
|