forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
742 B
Markdown
33 lines
742 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea na safari yake ya kimisionari.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya jumla.
|
||
|
|
||
|
Frigia ulikuwa ni jimbo katika Adsia ambao kwa sasa ni Uturuki.
|
||
|
|
||
|
# alipotua Kaisaria
|
||
|
|
||
|
"alifika Kaisaria kwa njia ya Meli"
|
||
|
|
||
|
# alipanda kwenda
|
||
|
|
||
|
"Paulo alisafiri kwenda mji wa Yerusalemu" Kupanda kwenda juu kwa vile Yerusalimu ulikuwa nyanda za juu zaidi ya Kaisaria.
|
||
|
|
||
|
# Kusalimia Kanisa la Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
"kuwasalimia washirika wa kanisa laYerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# Akashuka kwenda
|
||
|
|
||
|
Alishuka kwenda Antiokia kwa vile Antiokia ulikuwa mji uliochini ya bonde zaidi ya Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Paulo aliondoka
|
||
|
|
||
|
"Paulo alikwenda zake" au "Paulo aliondoka"
|
||
|
|
||
|
# Baada ya kukaa pamoja nao kwa muda fulani.
|
||
|
|
||
|
Unazungumziwa muda alioutumia kukaa nao kabla mtu hajaanza safari nyingine.
|
||
|
|