forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
417 B
Markdown
13 lines
417 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hili ni tukio jipya katika hadithi. Paulo aliletwa kwenye kiti cha hukumu mbele ya Galio.
|
||
|
|
||
|
# Galio alipofanywa mtawala wa Akaya
|
||
|
|
||
|
Akaya ilikuwa jimbo la Roma ambao Korintho ilikuwa sehemu yake ambayo sasa inafahamika kama kusini mwa Ugiriki.
|
||
|
|
||
|
# kumleta yeye mbele ya kiti cha hukumu
|
||
|
|
||
|
Wayahudi walimshika Paulo kwa nguvu na kumleta Paulo mbele ya mahakama. "walimpeleka ili akahukumiwe na mtawala"
|
||
|
|