forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
569 B
Markdown
25 lines
569 B
Markdown
|
# Kauli ya jumla
|
||
|
|
||
|
maelezo ya fungu hili yanazungumzia habari za Tito Yusta na Krispas
|
||
|
|
||
|
# Tito Yusto...Krispo
|
||
|
|
||
|
Ni majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# alimwabudu Mungu
|
||
|
|
||
|
Ni mwabudu Mungu wa kimataifa ambaye alimtukuza Mungu na kumfuata, lakini si kwa njia ya kushika sheria za Kiyahudi.
|
||
|
|
||
|
# Kiongozi wa sinagogi
|
||
|
|
||
|
ni mtu wa kawaida ambaye hufadhili na kuhudumia sinagogi, na si lazima awe mwalimu.
|
||
|
|
||
|
# na watu wa nyumbani mwake
|
||
|
|
||
|
"watu walioishi na yeye ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa zake"
|
||
|
|
||
|
# Watu wengi wa Korintho walibatizwa
|
||
|
|
||
|
"Watu wengi wa Korintho ambao siyo Wayahudi" walibatizwa
|
||
|
|