forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
637 B
Markdown
29 lines
637 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Aliyedhaniwa kuwa amekufa ni Paulo.
|
||
|
|
||
|
# kuwashawishi makutano
|
||
|
|
||
|
Inaweza kusaidia kueleza wazi alichowashawishi umati kufanya. "kuwashawishi watu kutowaamini Paulo na Barnaba, na kuwegeukia"
|
||
|
|
||
|
# makundi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutokuwa kundi moja na "makutano" katika mstari uliopita. Muda umepita, na hili linaweza kuwa kundi tofauti lililokusanyika pamoja.
|
||
|
|
||
|
# wakidhani kuwa amekufa
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu walifikiri kuwa ameshakufa"
|
||
|
|
||
|
# wanafunzi
|
||
|
|
||
|
Hawa walikuwa waumini wapya katika mji wa Listra.
|
||
|
|
||
|
# kuingia katika mji
|
||
|
|
||
|
"Paulo aliingia tena Listra na waumini"
|
||
|
|
||
|
# alienda Derbe na Barnaba
|
||
|
|
||
|
"Paulo na Barnaba walienda katika mji wa Derbe"
|
||
|
|