forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
881 B
Markdown
41 lines
881 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaanza hotuba yake kwa watu waliokuwamo kwenye Sinagogi huko Antiokia ya Pisidia. Anaanza kwa kuzungumzia mambo ambayo yalitokea katika historia ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# alisimama na kuwapungia mkono
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kutoa ishara kwa mikono kwamba yuko tayari kuanza kusema.
|
||
|
|
||
|
# enyi mnao mtii Mungu
|
||
|
|
||
|
Anamaanisha, Wamataifa ambao wanafuata desturi na dini ya Kuyahudi. "Ninyi msio Waisrael, lakini mnamwabudu Mungu"
|
||
|
|
||
|
# sikilizeni
|
||
|
|
||
|
"Nisikieni mimi" au "Sikieni ambacha nataka kuwaambia"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa hawa watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"Mungu ambye anaabudiwa na Waisraeli
|
||
|
|
||
|
# baba zetu
|
||
|
|
||
|
"Mababa wa Wayahudi"
|
||
|
|
||
|
# na kuwafanya watu wengi
|
||
|
|
||
|
"Aliwawezesha wao kuwa watu wengi sana"
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wake kuinuliwa
|
||
|
|
||
|
anamaanisha Mkono wa Mungu wenye uweza.
|
||
|
|
||
|
# aliwaongoza nje yake
|
||
|
|
||
|
"Kutoka katika nchi ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# aliwavumilia
|
||
|
|
||
|
linamaanisha "Aliwajali" na "Aliwavumilia katika kutokutii kwao"
|
||
|
|