forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
445 B
Markdown
17 lines
445 B
Markdown
|
# Wakati wakiwa njiani
|
||
|
|
||
|
Waliendelea na safari njiani
|
||
|
|
||
|
# wakafika penye maji
|
||
|
|
||
|
Haiko wazi kama haya "Maji" yalikuwa ya kijito au bwawa la maji au maji mengi. tunachofahamu yalikuwa na kina cha kutosha kuwaza kwenda chini yake.
|
||
|
|
||
|
# "Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,
|
||
|
|
||
|
Towashi alitumia swali hili kumwomba Filipo amruhusu kubatizwa. "Tafadhali niruhusu nibatizwe"
|
||
|
|
||
|
# akaamuru gari lisimame.
|
||
|
|
||
|
Akamwambia dereva wa mkokoteni asimame.
|
||
|
|