forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
773 B
Markdown
41 lines
773 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Viwalilishi vya majina katika habari hii vinamwakilisha Simoni
|
||
|
|
||
|
# pesa yako pamoja na wewe ipotelee mbali
|
||
|
|
||
|
Wewe na pesa yako muangamizwe
|
||
|
|
||
|
# Karama ya Mungu
|
||
|
|
||
|
"Karama" ni neno linaelezea uwezo wa kutoa Roho Mtakatifu kwa njia ya kuweka mikono juu ya mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Hauna sehemu katika jambo hili
|
||
|
|
||
|
Neno "huna sehemu" linaonyesha kuwa Simoni huna sehemu ya kushiriki katika kazi hii.
|
||
|
|
||
|
# Moyo wako si mnyoofu
|
||
|
|
||
|
"Kufikiri kwako si sahihi"
|
||
|
|
||
|
# Kwa namna ulivyotamani
|
||
|
|
||
|
"Kutaka kununua uwezo wa kutoa nguvu ya roho kwa wengine"
|
||
|
|
||
|
# Uovu huu
|
||
|
|
||
|
"Mawazo haya maovu"
|
||
|
|
||
|
# labda utasamehewe
|
||
|
|
||
|
"Anaweza kuwa tayari kukusamehe"
|
||
|
|
||
|
# Sumu ya uchungu
|
||
|
|
||
|
Haya ni maelezo ya fumbo yanayomaanisha wivu uliokidhiri.
|
||
|
|
||
|
# Vifungo vya dhambi
|
||
|
|
||
|
"mtumwa wa dhambi" au "atafanya dhambi tu"
|
||
|
|