forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
715 B
Markdown
33 lines
715 B
Markdown
|
# Musa alifundishwa
|
||
|
|
||
|
"Wamisri walimfundisha Musa"
|
||
|
|
||
|
# Mafundisho yote ya kimisri
|
||
|
|
||
|
hii inaongezea ,"vitu vyote walivyovijua Wamisri."
|
||
|
|
||
|
# alikuwa na nguvu katika maneno na matendo
|
||
|
|
||
|
"alikuwa na uwezo katika maneno na matendo yake"
|
||
|
|
||
|
# ikamjia katika moyo wake
|
||
|
|
||
|
Musa alitafakari na kisha akaamua
|
||
|
|
||
|
# kutembelea ndugu zake, Wana wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Kuona jinsi gani ndugu zake, wana wa Israeli wanaendeleaje.
|
||
|
|
||
|
# Alipomwona Mwisraeli akitendewa mabaya
|
||
|
|
||
|
Alipomwona Mmisri anamtesa mwisraeli, Musa alimtetea na akalipiza kisasi kwa kumpiga hadi kufa yule Mmisri.
|
||
|
|
||
|
# Musa alifikiri
|
||
|
|
||
|
" Musa alidhani kuwa, alichokifanya ndugu zake watajua kuwa ni Mungu anawapigania"
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wake
|
||
|
|
||
|
kupitia yeye Mungu alikuwa akiwaokoa ndugu zake.
|
||
|
|