forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
744 B
Markdown
21 lines
744 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Gamarieli anamaliza kuwaeleza wajumbe wa baraza. Pamoja na kuwapiga wale mitume na kuwaamuru wasizidi kunena habari za Yesu na kuwaachia huru, lakini wanafunzi walizidi kufundisha na kuhubiri habari za Yesu.
|
||
|
|
||
|
# jiepusheni na watu hawa na muwaache wenyewe,
|
||
|
|
||
|
Gamalieli anawaambia Wayahudi viongozi wasiwaadhibu hao mitume na wasiwatie tena gerezani.
|
||
|
|
||
|
# kama mpango huu au kazi hii ni ya watu itatupwa
|
||
|
|
||
|
Kama jambo hili wanalolitenda chimbuko lake ni mwanadamu litakoma tu.
|
||
|
|
||
|
# Lakini kama ni ya Mungu, hamtaweza kuwazuia
|
||
|
|
||
|
Kama kazi hii wanayoifanya chimbuko lake ni Mungu, kazi hii itaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo, walishawishika na maneno yake.
|
||
|
|
||
|
Gamalieli alifanikiwa kuwashawishi Viongozi Wayahudi na kukubaliana na ushawishi wake.
|
||
|
|