forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
427 B
Markdown
17 lines
427 B
Markdown
|
# Walishikwa na butwaa
|
||
|
|
||
|
"walishtushwa" au "walichanganyikiwa"
|
||
|
|
||
|
# Kuhusu wao
|
||
|
|
||
|
"kuhusu maneno waliyokuwa wamesikia" (taarifa kwamba mitume hawakuwa katika gereza)
|
||
|
|
||
|
# litakuwaje jambo hili
|
||
|
|
||
|
Nini kimefanyika hata watu hawa kutoka nje alihali milango imefungwa na walinzi wakiwepo.
|
||
|
|
||
|
# wamesimama hekaluni
|
||
|
|
||
|
Mitume hawakuwa ndani ya hekalu wanamoruhusiwa kiungia makuhani tu, bali walikuwa wamesimama kwenye ukumbi wa nje wa hekalu.
|
||
|
|