forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
751 B
Markdown
25 lines
751 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kuzungumzia Wayahudi Viongozi.
|
||
|
|
||
|
# Wakati walipoona ujasiri wa Petro na Yohana
|
||
|
|
||
|
Neno "Ujasiri" linaelezea njia ambayo Petro na Yohana wameitumia kujibu za viongozi Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu
|
||
|
|
||
|
Wayahudi viuongozi walitambua hivi kwasababu ya njia ambayo Petro na Yohana waliinena.
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa ni watu wa kawaida, wasio na elimu
|
||
|
|
||
|
Neno "kawaida" na "wasio na Elimu" ni maneno yanayogawana maana moja. Petro na Yohana hawakupata mafunzo ya elimu katika sheria ya kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# mtu aliyeponywa
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye alikuwa ameponya na Yesu kupitia Petro na Yohana
|
||
|
|
||
|
# hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
|
||
|
|
||
|
Hawakuwa na cha kusema dhidi ya Petro na Yohana juu ya kuponywa kwa huyo.
|
||
|
|