forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
918 B
Markdown
33 lines
918 B
Markdown
|
# Sentensi ungaishi:
|
||
|
|
||
|
Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi waliokuwa wamesimama kwenye eneo la hekalu.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Katika mistari ya 22-23 Petro ananukuu mambo fulani Musa alisema mapema kuhusu Masihi.
|
||
|
|
||
|
# mbingu lazima zipokee
|
||
|
|
||
|
Ni mmoja ambaye mbingu lazima zimpokee. Petro anazungumza na mbingu kama anaongea na mtu aliyempokea Yesu nyumbani mwake.
|
||
|
|
||
|
# mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote
|
||
|
|
||
|
"hadi wakati ambao Mungu atarejesha vitu vyote"
|
||
|
|
||
|
# ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwaambia watakatifu wake manabii kuzungumzia habari zao"
|
||
|
|
||
|
# manabii watakatifu ambao wamekuwapo tangu zamani za kale
|
||
|
|
||
|
"manabii wake watakatifu ambao waliishi zamani sana"
|
||
|
|
||
|
# atainua nabii
|
||
|
|
||
|
"atateua mmoja kuwa nabii"
|
||
|
|
||
|
# Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa
|
||
|
|
||
|
mtu asiyemsikiliza Nabii ambaye Mungu amemtuma atamwangamiza kabisa.
|
||
|
|