forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
519 B
Markdown
29 lines
519 B
Markdown
|
# Kila andiko limeandikwa kwa uwezo wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliyanena Maandiko yote kwa roho yake" au " Kila andiko ni pumzi ya Mungu", na kutolewa na roho wa Mungu. Mungu aliwambia watu nini waandike.
|
||
|
|
||
|
# Lafaa.
|
||
|
|
||
|
"yenye kutumika" au " yenye faida"
|
||
|
|
||
|
# Kuonya.
|
||
|
|
||
|
"kuonesha makosa"
|
||
|
|
||
|
# Kurekebisha
|
||
|
|
||
|
"Kusahihisha makosa"
|
||
|
|
||
|
# Kufundisha.
|
||
|
|
||
|
"kuwa mwenye maadili" au "kuleta katika uwezo wa kufanya kitu.
|
||
|
|
||
|
# Mwenye uwezo dhabiti.
|
||
|
|
||
|
"Kuwa kamili"
|
||
|
|
||
|
# mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya mtu yeyote anayemwamini Mungu awe mwanaume au mwanamke.
|
||
|
|