forked from WA-Catalog/sw_tn
49 lines
1015 B
Markdown
49 lines
1015 B
Markdown
|
# wewe umeyafuata mafundisho yangu
|
||
|
|
||
|
" Lakini kwa wewe umekuwa makini katika kuyaangalia/kuyaenenda."
|
||
|
|
||
|
# Mafundisho
|
||
|
|
||
|
"Maelekezo"
|
||
|
|
||
|
# Mwenendo mzuri.
|
||
|
|
||
|
" Namna ya maisha"
|
||
|
|
||
|
# Mateso ya mda
|
||
|
|
||
|
"kuwa na uvumilivu na watu"
|
||
|
|
||
|
# Uvumulivu
|
||
|
|
||
|
Maana zake ni 1) "Nitaendelea kumtumikia Mungu hata katika hali ngumu ya kutoweza" au 2) " Nitaendelea kuenenda katika njia ya haki hata katika nyakati ngumu."
|
||
|
|
||
|
# Walaghai/Watapeli
|
||
|
|
||
|
"Watu ambao huwadanganya watu kuhusu wao wenyewe" au " Watu ambao hujiweka tofauti na uhalisia wa maisha yao ya kweli."
|
||
|
|
||
|
# Na katika hayo yote Bwana akaniokoa
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia namna ambavyo Bwana alimuokoa alipokuwa anateseka na hali ngumu na hatari.
|
||
|
|
||
|
# kuishi katika maisha ya kumcha Mungu katika Kristo Yesu
|
||
|
|
||
|
"kuishi maisha ya kumcha Mungu kama mfuasi wa Yesu"
|
||
|
|
||
|
# watateswa
|
||
|
|
||
|
"yawapaswa kuvumilia mateso"
|
||
|
|
||
|
# watazidi kuwa waovu zaidi
|
||
|
|
||
|
"watakuwa waovu zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Watawapotosha wengine
|
||
|
|
||
|
"Watawasababisha watu wasimtii Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Wao wenyewe wamepotoshwa.
|
||
|
|
||
|
"Na watu wengine wawasababisha wasimtii Kristo"
|
||
|
|