forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
625 B
Markdown
29 lines
625 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaasa waumini wasidanganywe kuhusu siku ambayo Yesu atarudi.
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno "Sasa" linaonyesha kubadilika kwa mada katika maelekezo ya Paulo.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" linamaanisha Wakristo wenzetu, linajumuisha wote wanaume na wanawake. AT: " kaka na dada"
|
||
|
|
||
|
# Kwamba msisumbuliwe au kuhangaishwa kwa urahisi
|
||
|
|
||
|
kwamba msiruhusu mambo yawasumbue kwa urahisi.
|
||
|
|
||
|
# kwa ujumbe au barua ambayo inadhaniwa kutoka kwetu
|
||
|
|
||
|
"kwa maneno au barua iliyoandikwa ambayo inadhaniwa kutoka kwetu.
|
||
|
|
||
|
# kwa tokeo kwmba
|
||
|
|
||
|
"kusema kwamba'
|
||
|
|
||
|
# siku ya Bwana
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wakati atakaporudi duniani kwa ajili ya waumini.
|
||
|
|