forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
731 B
Markdown
25 lines
731 B
Markdown
|
# Pia tunaendelea kuomba kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
Paulo anasisitiza jinsi anavyoomba mara nyingi kwa ajili yao. AT: Pia mara kwa mara tunaomba kwa ajili yenu.
|
||
|
|
||
|
# kuita
|
||
|
|
||
|
Neno "kuita" lina maanisha Mungu anateua au anachagua watu kuwa watoto wake, kuwa watumishi wake na wahubiri wa ujumbe wa wokovu kwa njia ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# kutimiza kila haja ya wema
|
||
|
|
||
|
"awawezeshe kufanya mema kwa kila namna mnavyo tamani" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba mpate kulitukuza jina la Bwana wetu Yesu
|
||
|
|
||
|
Hili linaweza kuelelezewa katika muundo tendaji. AT: "ili kwamba mweze kulitukuza jina la Bwana wetu Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Ili mtukuzwa na yeye
|
||
|
|
||
|
Hili linaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "Yesu atawatukuza ninyi"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya neema ya Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
kwa sababu ya neema ya Mungu"
|
||
|
|