forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
881 B
Markdown
29 lines
881 B
Markdown
|
# kwa hakika huu ndio ukweli
|
||
|
|
||
|
Neno "huu" linamaanisha Mungu kuwalinda watu wasio haki gerezani mpaka siku ya hukumu.
|
||
|
|
||
|
# wale wanaoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka
|
||
|
|
||
|
Watu wasio haki wanaoendela kuishi katika tamaa ya mwilii na kuwachukia viongozi wao au watawala wao.
|
||
|
|
||
|
# mwili
|
||
|
|
||
|
Neno "mwili" linamaanisha ubinadamu katika dhambi ya asili ya mwanadamu
|
||
|
|
||
|
# wana ujasiri katika dhamiri zao
|
||
|
|
||
|
Neno "dhamiri" linamaanisha wale wanaoendelea katika uharibifu wa tamaa katika dhambi zao za asili na hawaheshimu malaika na mamlaka ya kiroho
|
||
|
|
||
|
# Hwaogopi kuwakufuru watukufu
|
||
|
|
||
|
Wasio haki hawaogopi kuwachokoza na kuwanenea maovu malaika
|
||
|
|
||
|
# malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu
|
||
|
|
||
|
Malaika wana nguvu za mwili na wa mamalka kuliko wanadamu
|
||
|
|
||
|
# Lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
"lakini malaika hawaleti humu iumizayo dhidi ya hawa watu kwa Bwana"
|
||
|
|