forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
445 B
Markdown
21 lines
445 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii ni hesabu ya kile kilichotokea kwa Ahazia, mfalme wa Yuda, baada ya Yehu kuua Yoramu.
|
||
|
|
||
|
# alipoliona hili
|
||
|
|
||
|
"alipoona kilichotokea kwa Yoramu"
|
||
|
|
||
|
# Bethi Hagani ... Guri ... Ebleamu ... Magido
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali
|
||
|
|
||
|
# mahali pa kupandia Guri
|
||
|
|
||
|
Neno "kupandia" linamaanisha walikuwa wakipanda juu ya kilima wakiwa wanasafiri juu ya barabara ya Guri. "juu ya barabara ya kupanda juu kwenda Guri"
|
||
|
|
||
|
# baba zake
|
||
|
|
||
|
"babu zake"
|
||
|
|