sw_tn/2ki/09/27.md

21 lines
445 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Hii ni hesabu ya kile kilichotokea kwa Ahazia, mfalme wa Yuda, baada ya Yehu kuua Yoramu.
# alipoliona hili
"alipoona kilichotokea kwa Yoramu"
# Bethi Hagani ... Guri ... Ebleamu ... Magido
Haya ni majina ya mahali
# mahali pa kupandia Guri
Neno "kupandia" linamaanisha walikuwa wakipanda juu ya kilima wakiwa wanasafiri juu ya barabara ya Guri. "juu ya barabara ya kupanda juu kwenda Guri"
# baba zake
"babu zake"