forked from WA-Catalog/sw_tn
26 lines
637 B
Markdown
26 lines
637 B
Markdown
|
# Nawataka ninyi
|
||
|
|
||
|
"Ninachihitaji ni kwamba mnipende na kunikubali"
|
||
|
|
||
|
# watoto hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi.
|
||
|
|
||
|
Watoto wadogo hawawajibiki kutunza fedha kwa afya za wazazi wao.
|
||
|
|
||
|
# Nitafurahi zaidi kutumia
|
||
|
|
||
|
Pailo anazungumzia kazi yake na maisha yake ya mwili kama vile ilikuwa fedha ambazo yeye au Mungu angetumia.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya nafsi zenu
|
||
|
|
||
|
Neno
|
||
|
'roho" ni linawakilisha watu wenyeywe.
|
||
|
|
||
|
# Kama ninawapenda zaidi, natakiwa kupendwa kidogo?
|
||
|
|
||
|
Swali hili lakujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: "Kama niawapenda ninyi sana, ninyi hampaswi kunipenda mimi kidogo.
|
||
|
|
||
|
# zaidi
|
||
|
|
||
|
Haiko bayana nini Paulo kusema " pendo la Paulo ni zaidi"
|
||
|
|