forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
642 B
Markdown
25 lines
642 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Paulo anazidi kujizungumzia yeye mwenyewe ingawa kama vile alikuwa anazungumzia mtu mwingine
|
||
|
|
||
|
# mtu huyu alichukuliwa juu hadi paradiso
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jini hii: Maana zinazowezekana: "Mungu tazama mtu huyu...katka paradiso" au "malaika alimchukua mtu huyu .
|
||
|
|
||
|
# alichukuliwa juu
|
||
|
|
||
|
ghafla na kwa kulazimishwa alifanyika na kuchukuliwa
|
||
|
|
||
|
# Paradiso
|
||
|
|
||
|
Maana zinazoezekana ni hizi" mbibuni au mbingu ya tatu au sehemu maalumu mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# kwa niaba ya mtu kama huyo
|
||
|
|
||
|
"kwa niaba ya mtu huyo"
|
||
|
|
||
|
# sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kusemwa hivi: "Nitajivuna tu kwa udhaifu wangu"
|
||
|
|