forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
772 B
Markdown
21 lines
772 B
Markdown
|
# kila kinachojiinua
|
||
|
|
||
|
Paulo bado anazungumza kwa fumbo juu ya neno "vita" kama vile "maarifa ya Mungu" vilikuwa jeshi na " kila kijiinuacho" ulikuwa ukuta ambao waliutengeneza kuzuia vita.
|
||
|
|
||
|
# kila kitu kinachojiinua
|
||
|
|
||
|
"kila kitu ambacho huwafanya watu wajivunie"
|
||
|
|
||
|
# kijiinuacho dhidi ya maarifa ya Mungu
|
||
|
|
||
|
paulo anazungumzia hoja kama vile ukuta unaosimama juu dhidi ua vita. Maneno " inuka juu" ina maanisha "simaa kwa urefu" " siyo kwamba kitu cha juu kinakuja kutoka angani.
|
||
|
|
||
|
# Tunalifanya mateka kila wazo katika utii kwa Kristo
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumza juu ya mawazo ya watu kama vile yalikuwa askari ambaye alimteka katika vita.
|
||
|
|
||
|
# kuadhibu kila matendo lisilo na uti
|
||
|
|
||
|
Maneno haya "tendo lisilo na utii" yanasimama kuwakilisha watu ambao waliyatenda maatendo hayo.
|
||
|
|