forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
857 B
Markdown
33 lines
857 B
Markdown
|
# tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo,
|
||
|
|
||
|
Sentensi hiiyaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Mungu ametuchagua kama wawakilishi wa Kristo.
|
||
|
|
||
|
# wawakilishi wa Kristo
|
||
|
|
||
|
"wale waanao mhubiri Kristo
|
||
|
|
||
|
# Mpatanishwe kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
Ina maanisha "Mungu na awapatanishe kwake"
|
||
|
|
||
|
# Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu
|
||
|
|
||
|
"Mungu alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu"
|
||
|
|
||
|
# dhambi zetu...ili tuweze kufanyika
|
||
|
|
||
|
Neno "yetu" na "sisi" tumejumuishwa na inamaanisha waamini wote.
|
||
|
|
||
|
# Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi
|
||
|
|
||
|
"Kristo ni yeye pekee ambaye hakuwahi kutenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye
|
||
|
|
||
|
"Mungu alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu kaika Kristo"
|
||
|
|
||
|
# li tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye.
|
||
|
|
||
|
Tungo "haki ya Mungu" inamaanisha haki ambayo Munguanaihitaji na ambayo inatoka kwa Mungu.
|
||
|
|