forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
664 B
Markdown
25 lines
664 B
Markdown
|
# kuijua hofu ya Bwana
|
||
|
|
||
|
"kuijua nini maana ya kumhofu Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "Mungu hutuona dhahiri wanadamu jinsi tulivyo"
|
||
|
|
||
|
# hivyo mnaweza kuwa na majibu
|
||
|
|
||
|
"hivyo mnaweza kuwa na kitu cha kusema juu yake"
|
||
|
|
||
|
# inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu
|
||
|
|
||
|
"kwamba pia mmedhihirishwa kwayo"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba muweze kuwa na jibu
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba muweze kuwa na kitu cha kusema"
|
||
|
|
||
|
# wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo
|
||
|
|
||
|
Katika sentesi hii Neno "kuonekana" linaelezea mwonekano wa nje wa vitu kama vile uwezo, na hali.Neno "moyo" lina maanisha utu wa tabia ya ndani ya mtu.
|
||
|
|