forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.0 KiB
Markdown
33 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaandika kwamba changamoto za Wakorintho ni ndogo na hazitadumu wakati zikilinganishwa na vitu vya milele visivyoonekana.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo hatukati tamaa
|
||
|
|
||
|
"Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii" hivyo tunabakia wajasiri"
|
||
|
|
||
|
# kwa nje tunachakaa,
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha miili yao inaharibika na kufa.
|
||
|
|
||
|
# kwa ndani tunafanywa upya siku hadi siku.
|
||
|
|
||
|
Ina maanisha utu wao wa ndani, kiroho maisha yanazidi kuimarika.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia mateso yake na utukufu ambaoMungu atampa kuwa vilikuwa vitu vinavyoweza kupimika.
|
||
|
|
||
|
# uzidio vipimo vyote
|
||
|
|
||
|
Utukufu wa uzoefu ambao Paulo ataupata ni mzito sana ambao hakuna awezaje kuupima.
|
||
|
|
||
|
# Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii. " vitu ambavyo twaweza kuviona...vitu ambavyo hatuwezi kuviona"
|
||
|
|
||
|
# bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuligawa tendo kwa tungo hizi. "lakini twangojea vitu ambavyo havionekani"
|
||
|
|