forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
872 B
Markdown
37 lines
872 B
Markdown
|
# ni harufu
|
||
|
|
||
|
"maarifa ya Kristo ni manukato ."
|
||
|
|
||
|
# harufu kutoka kifo hadi kifo
|
||
|
|
||
|
hili neno "kifo" limerudiwa kuweka msisitizo na tungo ina maanisha " harufu ya manukato inasababisha kifo" au "harufu ya manukato ya kifo ambayo husababisha wau kufa"
|
||
|
|
||
|
# mmoja anayeokolewa
|
||
|
|
||
|
"mmoja ambaye kwake Mungu anamwokoa"
|
||
|
|
||
|
# harufu ya manukato kutoka uhai hadi uhai
|
||
|
|
||
|
neno "uhai" limerudiwa kutoa msisitizo na tungo ina maanisha" harufu nzuri ya manukato inayotoa uhai" au " harufu nzuri ya maisha inayowafanya watu waishi"
|
||
|
|
||
|
# nani anayestahili vitu hivi
|
||
|
|
||
|
"hakuna anayestahili vitu hivi"
|
||
|
|
||
|
# usafi wa nia
|
||
|
|
||
|
"nia iliyo safi"
|
||
|
|
||
|
# Tunazungumza katika Kristo
|
||
|
|
||
|
Tunazungumza kama watu waliounganishwa kwa Kristo" au " tunazungumza kwa mamlaka ya Kristo"
|
||
|
|
||
|
# kama tulivyotumwa kutoka kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
"kama watu ambao Mungu amewatuma"
|
||
|
|
||
|
# mbele za uso wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"tunazungumza mbele za uwepo wa Mungu"
|
||
|
|