forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
744 B
Markdown
21 lines
744 B
Markdown
|
# Asije akawa mwamini mpya
|
||
|
|
||
|
"Asije akawa mwamini mpya" au " asije akawa mtua mbaye amekuwa mwamini kwa muda mfupi uliopita "au " lazima awe mwamini mchanga"
|
||
|
|
||
|
# Asije akaanguka katika hukumu kama mwovu
|
||
|
|
||
|
Kuwa na majivuno kama mwovu anavyofanya na kwa sababu ya kwamba amehukumiwa kama mwovu alivyo.
|
||
|
|
||
|
# Lazima pia awe na sifa njema kwa wote wa nje.
|
||
|
|
||
|
"Ni muhimu pia kwa wote ambao hawajamwamini Yesu kufikiri vizuri juu yake"au"Wote wa nje ya kanisa lazima wafikiri vizuri juu yake"
|
||
|
|
||
|
# Kuanguka katika aibu
|
||
|
|
||
|
Kuleta aibu juu yake"au"kumpa mtu sababu za kutodhibitishwa kwake"
|
||
|
|
||
|
# Kuanguka katika......mtego wa mwovu
|
||
|
|
||
|
Kuruhusu mwovu kumtega." Shetani kutengeneza mtego au kunaswa ni mfano wa shetani kumhadaa kujiingiza katika dhambi bila kujua.
|
||
|
|