forked from WA-Catalog/sw_tn
38 lines
984 B
Markdown
38 lines
984 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anamtia moyo Timotheo kukataa matumizi mabaya ya sheria na atumie vizuri mafundisho kutoka kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kama nilivyokusihi wewe
|
||
|
|
||
|
"Kama nilivyokuhimiza wewe," au "Kama nilivyokuomba kwa bidii"
|
||
|
|
||
|
# kaeni Efeso
|
||
|
|
||
|
"nisubirini mimi hapo katika mji wa Efeso"
|
||
|
|
||
|
# mapokeo mengine
|
||
|
|
||
|
mafundisho mengine tofauti na yale tuliyofundisha sisi.
|
||
|
|
||
|
# wala hawatasikiliza kwa makini
|
||
|
|
||
|
"Pia nataka ninyi muwaamuru wasisikilize kwa makini"
|
||
|
|
||
|
# hadithi
|
||
|
|
||
|
zinaweza kuwa ni hadithi kuhusu mababu zao.
|
||
|
|
||
|
# vizazi visivyo na mwisho
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia "isiyo na mwisho" kusisitiza kwamba vizazi ni vingi.
|
||
|
|
||
|
# Hizi husababisha malumbano
|
||
|
|
||
|
"Hizi huwafanya watu kutokubaliana." Watu walijadili kuhusu hadithi na nasaba ambamo hakuna angeweza kujua ukweli wake.
|
||
|
|
||
|
# badala ya kusaidia mpango wa Mungu, ambao ni kwa imani
|
||
|
|
||
|
Maana: 1) badala ya kutusaidia sisi kujua mpango wa Mungu wa kutuokoa, ambao tunajifunza kwa imani
|
||
|
2) badala ya kutusaidia sisi kufanya kazi ya Mungu, ambayo tunaifanya kwa imani
|
||
|
|