forked from WA-Catalog/sw_tn
49 lines
808 B
Markdown
49 lines
808 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongelea waamini walio kufa, walio hai, na ao watakao ishi Kristo akirudi.
|
||
|
|
||
|
# Hatutaki msielewe.
|
||
|
|
||
|
"Tunataka muelewe"
|
||
|
|
||
|
# Hatutaki
|
||
|
|
||
|
"Sisi" inawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako.
|
||
|
|
||
|
# Kulala
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha "kufa."
|
||
|
|
||
|
# Msiomboleze
|
||
|
|
||
|
"Msisikitike"
|
||
|
|
||
|
# Kama hao wasiojua mambo yajayo
|
||
|
|
||
|
"Kama watu wasioamini"
|
||
|
|
||
|
# Kama tukiamini
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi" linawaelezea Paulo na hadhira yake.
|
||
|
|
||
|
# Kufufuka tena
|
||
|
|
||
|
"kufufuka na kuishi tena"
|
||
|
|
||
|
# Atawaleta pamoja na Yesu hao waliolala mauti.
|
||
|
|
||
|
"akirudi atawafufua waamini waliokufa wakimwamini Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa ajili ya hayo twasema
|
||
|
|
||
|
"Sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.
|
||
|
|
||
|
# Hakika hatutawatangulia
|
||
|
|
||
|
"hakika hatutakwenda mbele yao"
|
||
|
|