forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
328 B
Markdown
13 lines
328 B
Markdown
|
# kwa kuwa umemwachia aende
|
||
|
|
||
|
"umemwachia" au "umemwacha hai"
|
||
|
|
||
|
# maisha yako yatachukua nafasi ya maisha yake na watu wako kwa watu wake
|
||
|
|
||
|
"utakufa badala yake, na watu wako watakufa kwa nafasi ya watu wako"
|
||
|
|
||
|
# moyo mzito na mwenye hasira
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. Yametumika kuonesha uzito wa hisia zake.
|
||
|
|