forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
476 B
Markdown
25 lines
476 B
Markdown
|
# Kama BWANA Mungu wako aishivyo
|
||
|
|
||
|
Kirai hii ni kiapo kinachosisitiza kuwa kile atakachokisema ni kweli.
|
||
|
|
||
|
# konzi moja ya unga tu
|
||
|
|
||
|
ni kidogo tu kwa ajili ya mlo mdogo
|
||
|
|
||
|
# unga
|
||
|
|
||
|
"unga uliotumika kutengeneza mkate
|
||
|
|
||
|
# kuni mbili
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha vijiti viwili
|
||
|
|
||
|
# ili tule, na tusubiri kufa
|
||
|
|
||
|
"kwamba tuweze kula na baada ya hapo tusubiri kufa"
|
||
|
|
||
|
# Ndipo baadaye ujitengenezee wewe na mwanao
|
||
|
|
||
|
Hii iko wazi kabisa kuwa kutakuwa na unga wa kutosha na mafuta kwa ajili ya mikate zaidi.
|
||
|
|