forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
840 B
Markdown
33 lines
840 B
Markdown
|
# watoto wapendwa
|
||
|
|
||
|
Yohana alikuwa mzee tena kiongozi wao. Alitumia maelezo haya kuonyesha pendo lake kwao. "watoto wangu wapendwa katika Kristo" au "ninyi mlio kama watoto wangu mwenyewe ninaowapenda." Tazama 2:1lilivyofafanuliwa
|
||
|
|
||
|
# mmekwisha washinda
|
||
|
|
||
|
"hamjawaamini waalimu wa uongo"
|
||
|
|
||
|
# yeye aliye ndani yenu
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliyemo ndani yenu"
|
||
|
|
||
|
# yeye aliye katika ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Uwezekano wa maana mbili ni 1) "wale waalimu wa kidunia" au 2) "Shetani aliyeko ulimwenguni
|
||
|
|
||
|
# ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Jina "ulimwengu" humaanisha watu wot wasiomtii Mungu pia humaanisha mfumo uovu ukaao katika ulimwengu wa dhambi
|
||
|
|
||
|
# Wao ni wa ulimwengu,
|
||
|
|
||
|
"Wale waalimu wa uongo ni watu wasiomtii Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kwa hiyo wanachokisema ni cha ulimwengu,
|
||
|
|
||
|
"kwa hiyo hufundisha mawazo yaliyokinye na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# na ulimwengu huwasikiliza wao.
|
||
|
|
||
|
kwa hiyo watu wasiomtii Mungu huwasikiliza wao"
|
||
|
|