forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
454 B
Markdown
17 lines
454 B
Markdown
|
# Tuna pasa kupenda.
|
||
|
|
||
|
Hapa, neno "tuna" linalenga waumimini wote.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu.
|
||
|
|
||
|
Katika tukio hili, neno ndugu linamaanisha mdogo wake na Kaini, Abeli.
|
||
|
|
||
|
# Na kwa nini alimuua?Kaw sababu
|
||
|
|
||
|
Yohana anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Hii ingeweza kutafsiriwa kama usemi: "Alimuua kwa sababu."
|
||
|
|
||
|
# Kazi zake zilikuwa na uovu, na kazi za ndugu yake zilikuwa za haki.
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu daima alifanya mambo maovu na ndugu yake alikuwa akifanya mambo mazuri."
|
||
|
|