forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
511 B
Markdown
17 lines
511 B
Markdown
|
# uthihirisho wa Roho
|
||
|
|
||
|
" muweze kufanya matendo yanadhihilisha kuwa Roho anawaongoza na kuwatawala"
|
||
|
|
||
|
# takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa
|
||
|
|
||
|
" muwe na mafanikio makubwa katika kuwawezesha watu wa Mungu kumtumikia Yeye zaidi"
|
||
|
|
||
|
# kutafasiri
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja mpaka lugha nyingine. Anagalia 2:12 kwa maelezo zaidi kuhusu "tafasiri"
|
||
|
|
||
|
# akili zangu hazina matunda
|
||
|
|
||
|
"Siyafamu maneno ninayoyasema"
|
||
|
|