forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
444 B
Markdown
21 lines
444 B
Markdown
|
# wazinzi
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu watu wanaokiri kuamini katika Kristo lakini wana tabia mbaya.
|
||
|
|
||
|
# Wazinzi wa dunia hii
|
||
|
|
||
|
Watu waliochagua kuishi katika maisha uzinzi,ambao si waumini
|
||
|
|
||
|
# wenye tamaa
|
||
|
|
||
|
"Wale walio na tamaa" au "Wale waliotayari kupoteza heshima ili kupata kitu wanchotamani"
|
||
|
|
||
|
# Wanyang'anyi
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana watu ambao"wanadanganya au tapeli mali za watu wengine"
|
||
|
|
||
|
# basi ingewapasa mtoke duniani.
|
||
|
|
||
|
" ingeliwabidi kukaa mbali na watu wote"
|
||
|
|