forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
697 B
Markdown
24 lines
697 B
Markdown
|
# Kutoka kwao litatoka jiwe kuu la pembeni
|
||
|
|
||
|
"Jiwe la pembeni litatoka kwao." Kiongozi mhimu anazungumzwa kama vile jiwe kuu la msingi wa jengo.
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwao kitatoka kigingi cha hema
|
||
|
|
||
|
"kigingi cha hema kitatoka kwao." Viongozi wakuu wanazungumzwa kama vile vigingi vikubwa vinavyolishikilia hema mahali pake.
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwao utatoka upinde wa vita
|
||
|
|
||
|
"upinde wa vita utatoka kwao." Viongozi wa kijeshi wanasemwa kama walikuwa upinde uliotumiwa vitani.
|
||
|
|
||
|
# Watakuwa kama mashujaa
|
||
|
|
||
|
"Watakuwa wenye nguvu vitani"
|
||
|
|
||
|
# wawakanyagao adui zao katika matope ya mitaani vitani
|
||
|
|
||
|
"wawashindao adui zao kwa ukamilifu"
|
||
|
|
||
|
# nao watawaabisha wapanda farasi
|
||
|
|
||
|
"nao watawashinda adui zao wapiganao nao katika farasi"
|