forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
745 B
Markdown
28 lines
745 B
Markdown
|
# Lakini kwenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "ninyi" inamaanisha watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# shimo ambalo halina maji
|
||
|
|
||
|
Shimo hapa linawakilisha uhamisho.
|
||
|
|
||
|
# Rudini ngomeni
|
||
|
|
||
|
"Rudini katika nchi yenu mahali mtakapokuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# wafungwa wa tumani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Waisraeli waliokuwa kifungoni waliokuwa bado wanamatumaini kwamba Mungu atawakomboa.
|
||
|
|
||
|
# pinda Yuda kama upinde wangu
|
||
|
|
||
|
Watu wa Yuda wanatajwa kama walikuwa upinde uliobebwa na Mungu kwa vita.
|
||
|
|
||
|
# kulijaza podo langu kwa Efraimu
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli, ufalme wa kaskazini, wanatajwa kama walikuwa mishale ambayo Mungu angewapigia adui zake. Podo ni mfuko unaotunza mishale ya askari.
|
||
|
|
||
|
# Nimewainua wana wenu, Sayuni, kinyume cha wana wenu, Ugiriki,
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumza na watu wa mataifa mawili tofauti kwa wakati mmoja.
|