Orodha ya ukoo no orodha inayorekodi mababu wa mtu. Wayahudi walitumia ordha za ukoo kumchagua mtu aliyestahili kuwa mfalme. Walifanya hivi kwa vile mwana wa kiume wa mfalme angekuwa mfalme. Zilionyesha pia ni kabila na familia gani walitokea. Kwa mfano makuhani walitoka katika kabila la Walawi na kwa familia ya Aruni.