forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
753 B
Markdown
28 lines
753 B
Markdown
|
# Mimi ni mweusi lakini mzuri
|
||
|
|
||
|
"Ngozi yangu ni nyeusi, lakini bado ni mzuri"
|
||
|
|
||
|
# mweusi kama hema za Kedari
|
||
|
|
||
|
Makabila ya kuhama hama ya Kedari yalitumia ngozi nyeusi ya mbuzi kujenga nyumba zao. Mwanamke analinganisha ngozi yake na hizi hema.
|
||
|
|
||
|
# mzuri kama mapazia ya Sulemani
|
||
|
|
||
|
Ana fananisha ngozi yake na mapazia mazuri Sulemani aliyo tengeneza ama kwa jumba lake au kwa ajili ya Hekalu.
|
||
|
|
||
|
# limeniunguza
|
||
|
|
||
|
"kuchomwa"
|
||
|
|
||
|
# Wana wa mama yangu
|
||
|
|
||
|
"Kaka zangu wa kambo." Hawa kaka zake labda walikuwa na mama mmoja kama huyu mwanamke lakini sie baba mmoja.
|
||
|
|
||
|
# mtunzi wa mashamba ya mizabibu
|
||
|
|
||
|
"mtu aliye tunza shamba la mizabibu"
|
||
|
|
||
|
# lakini shamba langu la mizabibu sijatunza
|
||
|
|
||
|
Mwanamke ana jilinganisha na shamba la mizabibu. "lakini sijaweza kujitunza mwenyewe."
|