forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
913 B
Markdown
28 lines
913 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa ujumbe wa Mwana wa Adamu kwa malaika wa kanisa la Thiatra.
|
||
|
|
||
|
# Thiatra
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji ndani ya Asia ambapo ni Uturuki ya leo.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina muhimu la Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# macho yake kama mwali wa moto
|
||
|
|
||
|
Macho yake yanaelezwa kuwa na mwanga kama mwali wa moto. "macho yake yaling'ara kama mwali wa moto"
|
||
|
|
||
|
# nyayo kama shaba iliyosuguliwa
|
||
|
|
||
|
Shaba hung'arishwa kuifanya ingae na kurudisha mwanga. "Miguu yake iling'ara sana kama shaba iliyosuguliwa"
|
||
|
|
||
|
# upendo wako na imani na huduma na uvumilivu wako thabiti
|
||
|
|
||
|
Hizi ni nomino dhahania ambazo zinaweza kutafsiriwa na vitenzi. "jinsi unavyopenda, kuamini, kuhudumu na kuvumilia kwa thabiti.
|
||
|
|
||
|
# upendo wako na imani na huduma na uvumilivu wako thabiti
|
||
|
|
||
|
Maana ya mambo ya hivi vitenzi vinaweza kuweka bayana. "jinsi unavyonipenda na wengine, unavyoniamini, unavyohudumia wengine, na kustahamili tabu kwa uvumilivu".
|