forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
569 B
Markdown
16 lines
569 B
Markdown
|
# Nafsi yangu
|
||
|
|
||
|
"Nafsi yangu" inamaanisha mwandishi wa zaburi. "mimi"
|
||
|
|
||
|
# Nafsi yangu inasubiri
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa zaburi anazungumziwa kana kwamba anasubiri kitu kwa kutarajia. "Natumaini" au "Nina amini" au "Ninatamani kitu"
|
||
|
|
||
|
# Nafsi yangu inasubiri ... zaidi ya walinzi wanavyosubiri asubuhi
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa zaburi anazungumzia hamu yake Bwana kumsaidia kama kuwa zaidi ya ile hamu ya wale wanaofanya kazi usiku kucha wakisubiri asubuhi ifike.
|
||
|
|
||
|
# walinzi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wanaume wanaolinda miji au viwanja dhidi ya adui na wezi. Hapa inamaanisha watu wanaokeshi uskiu kufanya hivi.
|