forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
660 B
Markdown
16 lines
660 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# wimbo wa upaaji
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi."
|
||
|
|
||
|
# Wakulima wamelima mgongoni mwangu
|
||
|
|
||
|
Mikwaruzo kutokana na kupigwa inazungumziwa kama kulima kwa mkulima. Mkulima alilima mistari yenye kina kirefu kiwanjani. "Adaui zangu wamenikata sana mgongoni mwanga"
|
||
|
|
||
|
# wakaifanya mifuo yao kuwa mirefu
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwendelezo wa msemo wa ukulima. "Mfuo" ni mstari ambao mkulima aliulima. "walifanya mikwaruzo yao kuwa mirefu"
|