forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
532 B
Markdown
20 lines
532 B
Markdown
|
# Geuza macho yangu yasitazame vitu visivyo na faida
|
||
|
|
||
|
Hii ni sitiari inayomaanisha mtu anayetamani vitu ambavyo havina thamani ya milele.
|
||
|
|
||
|
# nifufue katika njia zako
|
||
|
|
||
|
"nifanye niweze kuishi kama unavyotaka niishi"
|
||
|
|
||
|
# nifufue
|
||
|
|
||
|
"fanya maisha yangu yawe imara" au "nipe nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Tekeleza kwa mtumishi wako ahadi yako uliyoahidi wale wanao kuheshimu
|
||
|
|
||
|
"Fanya kwa mtumishi wako kile ulichoahidi kufanya kwa wale wanao kuheshimu"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anajieleza kama mtumishi wa Mungu kuonesha unyenyekevu. "mimi, mtumishi wako"
|